OFA YA MWAKA MPYA 2026

OFA YA MWAKA MPYA 2026
Tusua Academy ni kituo cha huduma za kitaaluma na kidijitali kinacholenga kuwasaidia wanafunzi, watafiti, na wataalamu kufanikisha malengo yao ya kielimu na kazi. Tunatoa huduma bora na za kuaminika katika: Huduma za Digital na ICT Uandishi wa Kitaaluma na Utafiti Mafunzo ya Kitaaluma na Kompyuta Lengo letu ni kutoa msaada wenye ubora, kwa gharama nafuu, na kwa kuzingatia maadili ya kitaaluma. Kwa nini uchague Tusua Academy? Huduma za kitaalamu na zenye uhakika Bei rafiki na wazi Kuheshimu uadilifu wa kitaaluma Kutoa matokeo yanayokidhi mahitaji ya mteja Iwe wewe ni mwanafunzi, mtafiti, au mtaalamu, Tusua Academy ipo tayari kukusaidia. 📍 Mahali: Mazimbu – Morogoro 📞 Simu / WhatsApp: 0620 444 736 📧 Barua pepe: tusuaacademy@gmail.com Tusua Academy – Kukuza Maarifa, Ujuzi na Suluhisho za Kidijitali.
Comments (0)